To unleash the progressive power of a generation of Africans to reach beyond themselves and change the face of the continent forever. This is our time!

  • This is africamotivation.blogspot.com

    Watu wengi sana wamepotezwa mwelekeo wa maisha yao kwa sababu ya kushindwa kabisa kusema hapana kila inapobidi.Hiin ndio maana watu wengi sana wamepoteza muda wao kwa mambo ambayo hayachangii kabisa katika maisha yao na katika malengo yao by mr motivation - africamotivation.blogspot.com

  • This is africamotivation.blogspot.com

    Ni lazima uwe mtu ambaye una ujasiri wa kukataa mambo amabyo hayana msaaada katika malengo yako makubwa by mr motivation - africamotivation.blogspot.com

  • This is africamotivation.blogspot.com

    Muda waklo wa kuishi duniani ukipotea basi ujue hauwezi kabisa kuurudisha tena,hivyo ni lazima uamue kuutumia kufanya mambo ya msingi tu mr motivation by - africamotivation.blogspot.com

  • This is africamotivation.blogspot.com

    uwe mtu mwenye ujasiri wa kusema HAPANA kwa kila kitu ambacho unaona kinakuondolea mweleko uliioukusudia katika maisha yako by mr motivation - africamotivation.blogspot.com

  • This is africamotivation.blogspot.com

    Dont be shy and sad to let them go, if they are nothing to you dont hesitate by mr motivation - africamotivation.blogspot.com

Hance Mligo

Hance Ml...
Share:

GET LATEST MOTIVATION AND INSPIRATION UPDATES VIA EMAIL

Enter your name and e mail.

Popular africa motivation posts

Recent africa motivation posts