-
This is africamotivation.blogspot.com
Watu wengi sana wamepotezwa mwelekeo wa maisha yao kwa sababu ya kushindwa kabisa kusema hapana kila inapobidi.Hiin ndio maana watu wengi sana wamepoteza muda wao kwa mambo ambayo hayachangii kabisa katika maisha yao na katika malengo yao by mr motivation - africamotivation.blogspot.com
-
This is africamotivation.blogspot.com
Ni lazima uwe mtu ambaye una ujasiri wa kukataa mambo amabyo hayana msaaada katika malengo yako makubwa by mr motivation - africamotivation.blogspot.com
-
This is africamotivation.blogspot.com
Muda waklo wa kuishi duniani ukipotea basi ujue hauwezi kabisa kuurudisha tena,hivyo ni lazima uamue kuutumia kufanya mambo ya msingi tu mr motivation by - africamotivation.blogspot.com
-
This is africamotivation.blogspot.com
uwe mtu mwenye ujasiri wa kusema HAPANA kwa kila kitu ambacho unaona kinakuondolea mweleko uliioukusudia katika maisha yako by mr motivation - africamotivation.blogspot.com
-
This is africamotivation.blogspot.com
Dont be shy and sad to let them go, if they are nothing to you dont hesitate by mr motivation - africamotivation.blogspot.com